Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, November 30, 2014

MSANII WA NIGERIA ATUWA NCHINI

 Msanii wa komedy kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vuvuzela Ltd, Evans Bukuku baada ya kumaliza mkutano wa waandishi wa Habari juzi Dar es Salaam. Msanii huyo alikuja nchini kufanya onesho maalum na wasanii wa komedy wa nchini mwishoni mwa wiki. Picha na Mpigapicha Wetu.
 Msanii wa komedy kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vuvuzela Ltd, Evans Bukuku baada ya kumaliza mkutano wa waandishi wa Habari juzi Dar es Salaam. Msanii huyo alikuja nchini kufanya onesho maalum na wasanii wa komedy wa nchini mwishoni mwa wiki. Picha na Mpigapicha Wetu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...