Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, January 3, 2015

NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE KATIKA KIPINDI CHA XMASI NA MWAKA MPYA

Bondia Jacobo Maganga kushoto akipambana na Shabani Kaoneka wakati wa mpambano wao uliomalizika kwa sare Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia wa uzito wa juu Iddi Bonge kushoto na Mussa Mbabe wakipambana wakati wa mpambano wao Bonge alioshinda kwa K,O ya raundi ya kwanza na kumsambalatisha Mussa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia wa uzito wa juu Iddi Bonge kushoto na Mussa Mbabe wakipambana wakati wa mpambano wao Bonge alioshinda kwa K,O ya raundi ya kwanza na kumsambalatisha Mussa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na mabondia Shomari nMirundi kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' anayejiandaa kugombani amkata wa UBO Africa na bondia Cosmas Cheka Feb 28

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na mabondia Shomari Mirundi katikati na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' anayejiandaa kugombani amkata wa UBO Africa na bondia Cosmas Cheka Feb 28
Bondia Ramadhani Kumbele kushoto akipambana na moro best wakati wa mbambano wao kumbele alishinda kwa pointi mpambani huo wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS

Dula mbabe akivalishwa glove na Shomari Kimbau
Mabondia Abdallah Pazi Kushoto na Thomas Mashali wakioneshana ufundi wa kutupiana makonde wakati wa mbambao wao wa kufungua mwaka uliomalizika kwa droo baada ya kugongana vichwa katika raundi ya tatu  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Abdallah Pazi Kushoto na Thomas Mashali wakioneshana ufundi wa kutupiana makonde wakati wa mbambao wao wa kufungua mwaka uliomalizika kwa droo baada ya kugongana vichwa katika raundi ya tatu  Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...