Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, March 10, 2015

KOCHA SUPER D AMZAWADIA BONDIA 'KING CLASS MAWE' VIFAA VYA MASUMBWI

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka na kunyakuwa ubingwa wa U.B.O Africa Class kwa sasa anamiliki mikanda miwili ya Africa ukiwemo wa WPBF na U.B.O Africa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka na kunyakuwa ubingwa wa U.B.O Africa Class kwa sasa anamiliki mikanda miwili ya Africa ukiwemo wa WPBF na U.B.O Africa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka na kunyakuwa ubingwa wa U.B.O Africa Class kwa sasa anamiliki mikanda miwili ya Africa ukiwemo wa WPBF na U.B.O Africa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiangalia mkanda wa bingwa mpya wa U.B.O Africa Ibrahimu class 'King Class Mawe' aliopata hivi karibuni baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiangalia mkanda wa bingwa mpya wa U.B.O Africa Ibrahimu class 'King Class Mawe' aliopata hivi karibuni baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ametimiza ahadi yake ya kumzawadia bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' endapo atanyakua ubingwa wa U.B.O kwa kumtwanga bondia Cosmas Cheka kwa point

ahadi hiyo ameitekeleza jana baada ya bondia huyo kumfata katika GYM ya Super D iliyopo karikoo Shule ya Uhuru Dar es salaam na kumkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi

akipokea vifaa hivyo bondia huyo ameaidi kuendelea na mazoezi ili afike juu zaidi kuliko ata mabondia waliotamba nchini bondia huyo anaemiliki mikanda miwili ya ubingwa wa Africa ikiwemo ya WPBF na U.B.O aliyouchukua hivi karibuni ametamba kumdunda bondia yoyote yule atakae jitokeza kutaka kutetea mikanda hiyo

nae kocha wa kimataifa wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' ameseme kuwa kutoa ni moyo hivyo amewaomba wadau wengine kumpa sapoti ya aina mbalimbali kwa nguwa mchezo wa masumbwi auna wadhamini hivyo wadau wanatakiwa wachangie maendeleo ya mchezo wa masumbwi iwe kwa mtu mmojammoja au kampuni kwa ujumla

Super D ambaye ujishulisha na usambazaji wa vifaa mbalimbali vya masumbwi nchini amekuwa akiuza na kugawa msaada kwa vijana wanaochipukia kwa ajili ya kuhamasisha mchezo uho ambao umekosa wafadhili

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...