Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 9, 2015

TIGO YAGAWA ZAWADI KWA WATEJA BORA WA MWAKA 2014

 Tigo Mteja bora 2014, Anta Ramadhani (kulia) akipokea zawadi ya simu kutoka kwa Mtaalamu wa Habari katika Mitandao ya Kijamii ya Tigo Samira Baamar, katikati ni Meneja Uendeshaji na Msaidizi wa Mifumo ya Mawasiliano wa Tigo Halima Kasoro


Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja na Tigo Wateja bora 2014, katika hafla fupi ya kuwakabidhi zawadi wateja hao iliyofanyika leo katika Makao Makuu ya Tigo Tanzania, Makumbusho Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...