Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 11, 2015

BONDIA MICHAEL YOMBAYOMBA AZIKWA KIBAHA MKOA WA PWANI




Makamu wa Rais wa Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini BFT Wililo Lukelo akitoa salam za lambilambi kutoka kwa wadau wa mchezo wa masumbwi mbalimbali nchini wakati wa mazishi ya bondia Michael Yombayomba yaliyofanyika Kibaha mkoa wa Pwani jana Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi akiwa akiwa amebeba jeneza la marehemu Michael Yombayomba kwa ajili ya kwenda kuzika mazishi yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani jana Picha na SUPER D BOXING NEWS

WAOMBELEZAJI WAKIPELEKA JENEZA LA MArehemu kwenda kuzika


 
Mtoto wa marehemi Michael Yombayomba Zakaria Yombayomba akiwasha mshumaa katika kaburi la baBA YAKE JANA

WADAU MBALIMBALI WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKIWA KATIKA KABURI LA BONDIA MICHAEL YOMBAYOMBA BAADA YA KUMALIZA KUZIKA KATIKA MAKABURI YALIYOPO KIBAHA MKOA WA PWANI WA TATU KUTOKA KUSHOTO NI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' DAVID YOMBAYOMBA, OSCAR MANYUKA NA JAY MSANGI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...