Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, November 21, 2015

MABONDIA TAMBA NA MWAKANSOPE KUPIGANA KESHO JUMAPILI MANZESE


Mabondia Ibrahimu Tamba kushoto akitunishiana misuli nas Baraka Mwakansope baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa utakaofanyika manzese frends corner siku ya jumapili picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Ibrahimu Tamba kushoto akitunishiana misuli nas Baraka Mwakansope baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa utakaofanyika manzese frends corner siku ya jumapili picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Ibrahimu Tamba wa Dar es salaam na Baraka Mwakansope wa Mbeya wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa kg 72 utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese mpambano uho wa raundi kumi utanza saa kumi za jioni

wakisindikizwa na mabondia mbalimbali ambapo bondia Pius Kazaula wa Morogoro atapambana na  Chisora Mawe na Vicent Mbilinyi atapambana na Said Tompoo wa Bagamoyo 

na Julius Kisarawe atapambana na Ramadhani Kumbele mpambano wa ubingwa kg 51

na Mfaume Mfaume atamenyana na Mrisho Adam katika mpambano kg 63 raundi nne

Mohamed Kashinde atakabiliana na Twawabu Issa na Iddi Kayumba atamenyana na Manny Issa 

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...