Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, December 9, 2015

MABONDIA ZUMBA KUKWE NA SELEMANI GALILE WATAMBIANA KUZIDUNDA JANUARY 2 MANZESE

Mabondia Seleman Galile kushoto na Zumba Kukwe wakitunishiana misuli baada ya kusaini makubaliano ya kupigana january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Seleman Galile kushoto na Zumba Kukwe wakitunishiana misuli baada ya kusaini makubaliano ya kupigana january 2  kwenye mpambano wa kufungulia mwaka utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Pembe Ndava  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Hussein Mbonde wa pili kulia na Shomari Milundi wakiwa na makocha wao kushoto ni Cristopher Mzazi na Mohamed Mbad mbade wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...