Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 3, 2016

MABONDIA VICENT MBILINYI TOKA KWA SUPER D NA MSAFIRI HAULE TOKA KWA MATUMLA KUPAMBANA JUNI 4 TAIFA


BONDIA VICENT MBILNYI  KUTOKA KWA'SUPER D' KUSHOTO AKITAMBIANA NA MSAFIRI HAULE KUTOKA KWA 'MATUMLA' GYM BAADA YA KUPIMA UZITO KWA AJILI YA KUZIPIGA JUNI 4 UWANJA W NDANI WA TAIFA
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA wawili kutoka katika GYM mbili tofauti zenye uhasimu wa kutaka kujua nani zaidi katika clab hizo zinazo ongozwa na mabondia wa siku nyingi
utakao usisha Bondia Vicent Mbilinyi anaefundishwa na kocha wa kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' na Msafiri Haule anaenolewa na bondia mkogwe katika mchezo wa Masumbwi Rashidi Matumla anaetokea katika familia yenye vipaji lukuki vya mchezo wa masumbwi nchini 

Mabondia hawo wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa raundi sita katika uzito wa kg 63

mpambano uho wenye lengo la kuwainuwa mabondia na kupata viwango vya kueleweka katika mtandao wa boxing nchini
mpambao uho utakaofanyika juni 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa 

katika mpambano uho kutakuwa na apambano mengine ya kusisimua ambapo bondia Cosmas Cheka atagombania mkanda wa ubingwa wa U.B.O pambano la raundi 12 na Chrispin Moliyati wa Malawi

mpambano mwengine utawakutanisha mabondia Yonas Segu na Wilson Masamba kutoka Malawi

mipambano mingine ya kimataifa yaa wakutanisha mabondia wa kike Lulu Kayage wa Tanzania atakaezipiga na Will Eneles kutoka Malawi
wengine ni Japhert Kaseba atazidunda na Amour Mzungu kutoka Zanzibar na Ashiraf Selemani kutoka Zanziba atakumbana na Elick Gogodo wa Malawi katika mchezo wa uzito wa juu kabisa
wakati Alphonce Mchumiatumbo atakabiliana na Mussa Ajibu kutoka Malawi mpambano wa raundi sita
siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi pia ngumi zitaanza mapema kuepusha usumbufu unaojitokezaga kwa wapenzi kuchelewa majumbani mwao kwa ajili ya mchezo wa masumbwi

siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba sheria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...