Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, August 20, 2016

MABONDIA IDDI MKWELA NA MWINYI MZENGELA WAPIMA UZITO KUWA SINDIKIZA SEGU NA MFAUME TAIFA


Mabondia Iddi MKwela kushoto na Mwinyi mzengela wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito na afya kwa ajili ya mpambano wao wa Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Iddi MKwela kushoto na Mwinyi mzengela wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito na afya kwa ajili ya mpambano wao wa Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Iddi MKwela kushoto na Mwinyi mzengela wakitamba mbele ya kamera  baada ya kupima uzito na afya kwa ajili ya mpambano wao wa Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi sita Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na Mabondia Iddi Mkwela kushoto na Mwinyi Mzengela baada ya kupima uzoto kwa mabondia hawo kwa ajili ya mpambano wao wa Agost 21 uwanja wa ndani wa Taifa kusindikiza mpambano wa Mfaume Mfaume na Yonas Segu Picha na SUPER D BOXING NEWS







Bondia Mwinyi Mzengela Akipima uzito kulia ni mpinzani wake Iddi Mkwela na kushoto ni msimamizi Ibrahimu Kamwe Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Iddi Mkwela akipima uzito

daktari wa mchezo wa masumbwi, Donald Madono kulia akimpima bondia Iddi Mkwela Afya yake kabla ya mpambano wake na mwinyi Mzengela Kesho
Picha na SUPER D BOXING NEWS
daktari wa mchezo wa masumbwi, Donald Madono kulia akimpima bondia Mwinyi Mzengela  Afya yake kabla ya mpambano wake na  Iddi Mkwela Kesho
Picha na SUPER D BOXING NEWS


Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Iddi Mkwela na Mwinyi Mzengela wamepima uzito na afya leo kwa ajili ya mpambano wao wa raundi sita mpambano utakao fanyika jumapili ya Agost 21  katika uwanja wa ndani wa taifa mpamba ambao ni wa kuwasindikiza
 Mabondia Jonas Segu na Mfaume Mfaume watakaozipiga kwa raundi nane uzito wa kg 66

Msimamizi wa upimaji wa uzito alikuwa ni Mwenyekiti wa kamati ya ngumi za kulipwa nchini Habibu Kinyogoli ambaye alisimamia zoezi ilo la upimaji uzito pamoja na Afya kwa wachezaji wote watakao cheza
Pia aliwakumbusha sheria mbalimbali wawapo ulingoni kwani mchezaji anapaswa kujua na kuzingatia kanuni na talatibu za mchezo wa masumbwi nchini
Aliongeza kwa kusema  kuwa mapambano ya jumapili yatanza mapema sana ili kuwapa nafasi mashabiki waluni makwao wakapumziki wakiwa wamepata burudani tosha ya mchezo wa ngumi bila ya bighuza ya aina yoyote ili
Pia ulizi utakuwa wa kutosha katika mpambano uhu kwani mandalizi yote yamesha kamilika tunasubili tu kesho kwa ajili ya mchezo kamili
Bondia mwingine anaekuja kwa kasi kwa sasa katika uzito wa kati Shabani Kaoneka atapambana na Kivu Abdi mpambano wa raundi sita 

Katika Mchezo huo kutakua na Uuzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria zake mbalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha  'Super D' kwa ajili ya kuwapa mabondia mbalimbali mbinu za mchezo na mashabiki kujua sheria za masumbwi.

Ndani yake wakiwemo mabondia Floyd Mywether, Manny Paquaio, Amiri Khani, Mohamedi Ali, Mike Tayson David Haye na wengine ambapo kutakuwa na matukio ya mazoezi yao katika mataifa yao ikumbukwe kuwa ni mabingwa wa dunia. na kutakuwa na mapambano makubwa matano ya utangulizi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...